Help Children
Love them
Saidia Watoto

Tuesday, March 27, 2012

Chuo Cha Utumishi wa Umma Mtwara wakifuatilia kwa makini

Wanafunzi wa Chuo Cha Utumishi wa Umma Mtwara wakifuatilia kwa makini hotuba ya Mbunge wa Mtwara Mjini Hasnein Murji wakati alipoenda kukabidhi msaada wa shilingi milioni moja kwa Kaimu Mkuu wa Chuo hicho Seme Peter fedha hizo ni kwa ajili ya kununulia vifaa vya michezo chuoni hapo

0 comments:

Post a Comment