Help Children
Love them
Saidia Watoto

Saturday, February 22, 2014

shindano la kupika chapati


Friday, February 21, 2014

Vijana dili la kujifunza Muziki hili hapa

Na Evance Ng'ingo
SHIRIKA lisilo la Kiserikali lijishughulishalo na mafunzo na maendelezo ya Muziki la Music Mayday litaendesha shindalo lake la nne la kutafuta vipaji litakalofanyika Machi Mosi mwaka huu.


Shindano hilo litafanyika katika kwenye ukumbi wa ndani ya New Msasani Club uliopo katika kituo cha daladala cha Drive In karibia na Ubalozi wa Marekani.


Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na Afisa Mtawala wa shirika hilo Ana Nyerere ilisema kuwa vijana zaidi 15 wanatakiwa.


Alisema kuwa tukio hilo litakuwa ni la kumalizia mfululizo wa mashindano ya kutafuta vipaji yaliyofanywa na Music Mayday kwenye mradi wa “Sounds of Tomorrow” (Sauti za kesho) sehemu nyingine mbalimbali.

"Vijana 15 wa ziada wenye vipaji watachaguliwa kupewa udhamini wa miaka miwili kujifunza chombo au sauti, mafunzo ya kitaaluma katika sauti na ujuzi wa ala au chombo ukarabati na matengenezo"alisema Ana.


"Hivyo basi naomba tena sana sana wasichana jamani mjitokeze kushiriki na kuonyesha vipaji vyenu siku hiyo ili muweze na nyie kuchaguliwa"alisema Ana.


Alisema kuwa washindi hao watajiunga na wenzao waliochaguliwa tayari katika eneo la Max Bar, Ilala ili kuanza mafunzo ya kitaalamu ya muziki kwa miaka miwili Aprili 2014 katika kituo cha mafunzo ya muziki kilichopo Mikocheni A.


Alisema kuwa katika shindano la muziki washindi 15 kati ya washiriki wote watachaguliwa na jopo la majaji ili kupewa udhamini wa muda wa miaka miwili kwa ajili ya elimu ya kitaaluma katika muziki na usimamizi.


Alisema kuwa watapata mafunzo ya kitaaluma katika sauti na ujuzi wa ala, chombo ukarabati na matengenezo , nadharia ya muziki, usimamizi wa muziki, kudhamini na masoko binafsi, uzalishaji muziki kiufundi na usimamizi wa sauti.


Aliongeza kuwa "washiriki wote na watu walioguswa wanaalikwa kutembelea Kituo cha mafunzo ya muziki kilichopo Mikocheni A karibu na shule ya Feza, Mikocheni A kwa kufahamu zaidi utendaji wet wa kazi".
Mwisho

HMT wanakuja na hili


Tuesday, February 11, 2014

Bring your friends and family

Food is an integral part of the Indian culture and Indian subcontinent, including Pakistan and Bangladesh. Thanks to the multitude of its flavors and aroma, its popularity is quickly increasing, and with it the number of new Indian restaurants. And so a new project is born – Indian Food Festival.

The Lake Gas Indian Food Festival gives you the unique opportunity to try delicious Indian dishes from various Indian Restaurant and Caterers, enjoy a special menu, compare dishes and discover new flavors! Thus for the first time ever, The Festival is aimed at promoting the tantalizing taste to the general Tanzanian Population. The variety range from array of kebabs, Tikkas, dossa, street food to various types of Biriani. Apart from the savory dishes, there shall be farsans, mithais, jalebi and all the sweet Indian delicacies.

"Lake gas is proud to associate as a title sponsor for the Indian Food festival.  Being one of the market leader in the LPG in Tanzania, This event provides an ideal platform for our tittle sponsor 'lake Gas' to address all  LPG consumers on their channel networking and services" states Lake Gas Business Development Manager Numeir Khalid

Those who have never tasted Indian cuisine yet will have the possibility to order a special “Bollywood” menu, which will include several courses, so as not to have to choose!

There will also be Kids Corner and various culinary games for children and adults alike. Children below 10years enter FREE.

 

Tukawaungishe Hassan Maajar Trust








                                                     Tusilikose tukio hili muhimu