Help Children
Love them
Saidia Watoto

Tuesday, December 25, 2012

Elimu izingatiwe katika kuboresha Tasnia ya mavazi Bongo

Wanadada na wanamama ambao kwa kiasi kikubwa wamewekeza katiak sekta ya ubunifu wa mavazi nchini (kushoto) ni Asia Idarious ambae ni mwandaaji wa onesho la Usiku wa Kanga za Kale pamoja na Lady in Red akiwa na wadau wa mavazi ya Abaya ambayo ni ya dini ya kiislamu wakiwa katika onesho la mavazi hayo ya Abaya yaliyofanyika Hyat Kempinski Hoteli 

Wageni wakiingia katika onesho hilo

Wadada ambao wanatumia tasnia hiyo ya unbunifu w amavazi kujiongezea kipato (wanamitindo) wakiwa na Asia Idariou, kumbe tasnia hii ikiboreshwa zaidi na kukawa na msisitizo katiak elimu ya ubunifu wa mavazi basi inaweza kuwa tasnia kubwa hapa nchini 

Mavazi yenyewe ndo hayooo hapo

0 comments:

Post a Comment