Help Children
Love them
Saidia Watoto

Friday, December 28, 2012

Mama Kikwete anastahili pongezi kwa kuimarisha elimu nchini

Rais wa Zanzibar, Dk Shein akimpongeza Mkurugenzi wa Home Shoping Center kwa kusaidia chakula kwa shule ya Wama kwa miaka mingi

Shein akipanda mti kuimarisha mazingira shuleni hapo

Hii ni sehemu ya bafu ambapo watoto wasomao shuleni hapo wanatumia

Mahala pa kulala ni pasafi na pa kuridhisha

Hiki ni chumba cha kusomea masomo ya kompyuta kwa wanafunzi wa shuleni hapo

Shein alifurahia sana

Geti la kuingilia shuleni hapo ni sehemu kubwa na yenye kuvutia sana

Wanafunzi wakiimba kuwaimbia wageni waliofika shuleni hapo. Hapo ilikuwa wakati wa kuifungua shule hiyo na kwa sasa blog hii inafanya utaratibu wa kuwasilaiana na wahusika ili kuangalia uwezekano wa kuitembelea shule hiyo tena mwa ujao

0 comments:

Post a Comment