Help Children
Love them
Saidia Watoto

Monday, November 26, 2012

TEA iliyochangisha fedha kwa ajili ya ujenzi wa mabweni ya wasichana

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Shukuru Kawambwa  akimkabidhi shilingi milioni 3 aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Asharose Migiro kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa mabweni
ya wasichana
Mdau wa masuala ya Mitindo nchini ambae ni mmiliki wa Blog ya 8020, anastahili pongezi kubwa sana kwa kuwa amewezesha marafiki zake na wadau wengine wa elimu kuchangia laki sita na uchafu kusaidia suala hilo la ujenzi wa mabweni

Miss Tanzania Nancy Sumari 2005 akimkabidhi Mama Migiro mchango wake wa USD 1000 kwa kweli inatia moyo kwa kuwa alionesha kuguswa na tatizo hilo, Nancy ni Balozi wa elimu

0 comments:

Post a Comment