Help Children
Love them
Saidia Watoto

Sunday, November 11, 2012

Kampuni ya Ambitious LTD yamaliza mafunzo ya IT kwa wanafunzi wa sekondari

Mwanafunzi wa Jangwani akichukua cheti chake

Kijana wa Kibasila akichukua cheti chake

Kijana kutoka Azania sekondari akichukua cheti chake

Mwanafuzni wa Azania

Temu akimpongeza mwanafunzi wake

Huyu ni mwanafunzi wa Shaban Robert akipongezwa baada ya kunyakua cheti chake

Mwanadada kutoka Shaban Robert akichukua cheti chake

Hapa ni mwanafunzi wa Jangwani Secondary akichukua cheti chake

Amani Temu mratibu wa mafunzo hayo akizungumza na wanafunzi waliohudhuria mafunzo hayo

Pia kulikuwa na muda wa kujadiliana masuala mbalimbali ya IT

Mwanafunzi wa Shaban Robert akipongezwa baada ya kuchukua cheti chake

Mwanafunzi wa Shaban Robert

0 comments:

Post a Comment