Help Children
Love them
Saidia Watoto

Sunday, November 25, 2012

KCB yatoa milioni 5/= kusaidia ujenzi wa mabweni ya wasichana nchini



Mdau huyu wa elimu aliamua kutoa USD 100 usiku huohuo kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa mabweni ya wasichana
hapo akishikana mikono na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Asha Rose Migiro
Inatia moyo kama familia kusaidia ujenzi wa mabweni ya wasichana kwa lengo la kuinua elimu ya wasichana nchini

Add caption

Head of Marketing and Corporate Affairs wa KCB Bank (T) Limited Christina Manyenye akikabidhi shilingi milioni tano kwa Asharose Migiro kulia kwa Asharose ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Shukuru Kawambwa 

0 comments:

Post a Comment