Help Children
Love them
Saidia Watoto

Monday, November 26, 2012

Sharo Mlionea afariki Dunia kwa ajali ya gari.

Ajari ya gari iliyohusisha gari alilikuwa akisafiria msanii maarufu kama Shalo bilionea imepelekea msanii huyu kuaga dunia. Baada ya gari yake ndogo kupinduka akiwa safarini mkoani Tanga, alipoteza maisha hapohapo na kwamba maiti yake imehifadhiwa katika chumba cha maiti hospitali ya Muheza. ajari hiyo imetokea majira ya saa mbili usiku huu. Kazi yake Mola haina makosa na Mungu ailaze mahali pema peponi roho ya Marehemu msanii Shalo


0 comments:

Post a Comment