Help Children
Love them
Saidia Watoto

Friday, January 25, 2013

Zantel ilivyonogesha graduation ya kidato cha sita Tambaza Secondary

Mkurugenzi wa Wateja wakubwa wa Zantel Ahmed Seif katikati akifuatilia kwa umakini graduation hiyo

Wahitimu wenyewe ndio haooo

Pia walifanya maigizo kuwahamasisha wanafunzi wenzao wajitunze na janga la Ukimwi

Pia kulikuwa na mchango wa kusaidia masuala mbalimbali ya wanafunzi shuleni hapo

Seif akitoa risala yake

Wanafunzi waliwaimbia wenzao nyimbo mbalimbali

Pia kulikuwana zawadi kwa wanafunzi, wafanyakazi na walimu bora huyo ni mwalimu akichukua zawadi yake

Mfanyakazi bora akichukua zawadi yake

Muda wanafunzi kuchukua zawadi

Wazazi hawakusita kuwapongeza wanafunzi hao

Huyu dada anaitwa Sarafina Bunena yani alichukua zawadi kuwa mwanafunzi bora katika masomo ya Commerce, Accounts na Economic

Huyu kijana ni Juma Mwakota alipata zawadi kuwa mwanafunzi bora katika masuala mengi kiasi cha kumfanya Ahmedi Seif atake kupiga picha nae

Sarafina akiendelea kuchukua zawadi zake

Juma huyo

Huyu ni Tabu Ng'weleni alichukua zawadi kutokana na kuwa mwanafunzi bora katika masomo ya Kiswahili na History 

Huyu dada anaitwa Gati Marwa yeye alikuwa mwanafunzi bora wa somo la Advanced Mathematics

Na kusema kweli alistahili hizo zawadi huyu mrembo

0 comments:

Post a Comment