Help Children
Love them
Saidia Watoto

Sunday, January 20, 2013

Kauli ya kuwa wasanii hawana elimu yazidi kuchukua sura mpya

Wasanii mbalimbali waliojitokeza katika ukumbi wa Vijana Social Hall wakifuatilia mkutano kwa makini uliokuwa unalenga kutoa msimamo wa wasanii kuhusiana na masuala mbalimbali likiwamo suala la kudhauriwa

Haya muda wa mabango ukafika na ujumbe ndo huo unavyouona

Haa! viongozi wa Chama Cha Waigizaji wanaongoza nyimbo za hamasa, waliimba nyimbo za kumsifu Kikwete lakini walilalamikia sana hao viongozi wanaosema kuwa hawana imani nao





Haya huyu bango lake linasema hivi sasa mimki sijui kama ni kweli au hapana

Ze mkutano unaendelea kama hivi







0 comments:

Post a Comment