| Mgeni Rasmi akiingia katika viwanja vya Mnazi Mmoja kufungua maonesho ya Embe |
| Mgeni rasmi akipatiwa maelezo kutoka kwa ofisa mradi wa Tanzania Agriculture Productive Program AliceMaro |
| Alice akimuonesha mgeni rasmi banner ya maelezo ya shughuli wazifanyazo |
| Mgeni rasmi akizungumza na Fatma Riyami mmoja kati ya waoneshaji wa bidhaa za embe katika viwanja hivyo |
| Alifurahishwa na bidhaa za Bakhresa hapa akiwapongeza |
| Mwenyekiti wa chama cha wakulima wa maembe (Amagro ) |
| Hakusita kuonja embe |
| Hawa ni moja kati ya wanajamii waliojitokeza kuonja aina tofautitofauti za embe |
| Mgeni rasmi akipokea zwadi kutoka kwa kampuni ya Bakhresa |
| Zoezo la kuonja embe lilikuwa lakuvutia sana |
| Pia kulikuwa na juice tamu ya embe ambayo ilikuwa tamu sana licha ya kuwa ilikuwa haina sukari |
| Wadau wa shamba la Kilodede lililopo Mkuranga eneo la Mwanambaya wakiwa pamoja na mmiliki wa shamba hilo Joseph Mallya |







0 comments:
Post a Comment