Help Children
Love them
Saidia Watoto

Friday, April 26, 2013

Nipo mikoani katika ziara za kikazi kuhusiana na masuala ya elimu

Nakaribishwa katika maktaba moja ipo Saadani vijijini mkoani Tanga

Hapa ndipo anapoweka vitabu vyake huyu mmiliki wa maktaba hiyo

Hap ndipo kwa ndani ya maktaba yake ambapo anafundisha na kuwapatia wanafunzi fursa ya kusoma vitabu bure

                                       Hili ni darasa lililopo Saadani katika mbuga kabisa
Wanafunzi wakichota maji

0 comments:

Post a Comment