Help Children
Love them
Saidia Watoto

Saturday, September 15, 2012

Zantel kuwaendeleza kielimu wachezaji wa African Lyon

Kampuni ya simu za mkononi ya Zantel imetangaza nia ya kusaidia timu ya soka ya African Lyon ikiwa pamoja na kusaidia kuendeleza elimu kwa vijana waliopo katika Academy ya timu hiyo kijana huyu pichani atasaidiwa kwenda kusoma nchini Marekani

Mmoja kati ya maofisa wa Zantel, Natasha, akitoa zawadi kwa washiriki waliohudhuria hafla hiyo

0 comments:

Post a Comment