Help Children
Love them
Saidia Watoto

Monday, September 24, 2012

Vijana hawa wameandaliwa na kufundishwa vema na nido wanatumia elimu hiyo katika kubiridisha kwa sarakasi

 Wasanii wa Kikundi cha Shada, wakifanya onyesho la sarakasi katika ufunguzi wa tamasha la kimataifa la Sanaa Bagamoyo. Tamasha hilo limefunguuliwa rasmi Jumatatu na litaendelea kwa siku tano hadi Jumamosi ijayo

 Moja kati ya mambo yaliyokuwa kivutio kikubwa ni jinsi watoto hao walivyoonyesha umahiri katika kuruka kwenye maringi.

Wasanii wa kundi la Jeshi wakifanya onyesho la Mzingaombwe katika Tamasha la Sanaa la Bagamoyo

0 comments:

Post a Comment