Help Children
Love them
Saidia Watoto

Sunday, September 16, 2012

Mazingira ambayo yahitaji na pia yanaihathiri elimu nchini

 Pasipokuwa na elimu ya kutosha kwa waendesha bodaboda hali inaweza kuwa mbaya zaidi kwa usalama wao kwa kuwa wengi wao watazidi kufa siku hadi siku.
Hapa unaweza kujiuliza kuwa mahala ambapo kuna shida kubwa ya maji kama hii je wanafunzi wanaweza kuwahi kwenda shule kuendelea na masomo yao, picha hii inatoa habari kuwa mahala penye shida ya maji basi hata maendeleo yao ya elimu nayo pia yanaweza kuwa ya shida pia

0 comments:

Post a Comment