Help Children
Love them
Saidia Watoto

Saturday, September 8, 2012

Wanafunzi washiriki mashindano ya riadha ya taifa

Wawakilshi wa Umiseta wakiwawakilishi wanafunzi katika mashindano ya taifa ya raidha yanayoendelea katiak uwanja wa taifa jijini Dar es salaam ambapo kwa mwaka huu mashindano hayo yametoa nafasi kwa wanafunzi kuwakilishwa na wenzao hao katika mashindano hayo ya taifa

0 comments:

Post a Comment