Help Children
Love them
Saidia Watoto

Monday, September 10, 2012

Rais Kikwete azindua chuo cha kijeshi nchini kilichopo Kunduchi Dar es salaam

Rais Jakay Kikwete akipena mkono nma Meja Jenrali Charles Makalala mara baada ya kumkabidhi funguo ikiwa ni inshara ya ufunguzi wa chuo hicho kilichopom Kunduchi, Dar es salaam

Rais Kikwete akiwa na wakuu mbalimbali wa chuo hicho mara baada ya kukizindua leo

Hapa akikizindua rasmi chuo hicho jana ambapo alittoa wito kuwa kinatakiwa kuendeleza elimu ya kijeshi na kuwa mfano wa kuigwa ndani na nje ya bara la Afrika

0 comments:

Post a Comment