Help Children
Love them
Saidia Watoto

Sunday, September 30, 2012

Hongereni mliomaliza kidato cha nne

Hawa ni wahitimu wa kidato cha nne katika sekondari ya Pugu ambao wamewezeshwa na kuthibitisha kuwa wanaweza kwa hiyo ni vema kuwaendeleza wenye ulemavu ili waweze fikia malengo yao

Hekaheka za kujiandaa na mitihani ya form four

0 comments:

Post a Comment