Help Children
Love them
Saidia Watoto

Monday, October 15, 2012

Wafanyakazi wa Zantel wapewa elimu ya afya

 Ili kuweza kuimarisha afya yako ikiwa pamoja na kufahamu namna ya kujirinda na magonjwa mbalimbali inatakiwa kupewa elimu ya kutosha kuhusiana na masuala ya afya pamoja na lishe, pichani wafanyakazi wa kampuni ya simu ya Zantel wakipewa elimu ya afya kiujumla. 
 Pia kulikuwa na ushauri wa hapo kwa hapo kutoka kwa wataalamu wa masual ya afya
 Wafanyakazi wakijadiliana masuala muhimu ya afya wakati wakisubiria kwenda kupima afya zao
 PRO wa Zantel Jaquline Matowo akipimwa presha na wataalamu hao
Pia wakapata picha ya pamoja na wafanyakazi wote

0 comments:

Post a Comment