Help Children
Love them
Saidia Watoto

Sunday, October 21, 2012

Jionee mwenyewe tofauti ya mazingira ya elimu hapa nchini

 Hapa wanafunzi wakijadiliana na walimu wao ni katika mazingira ya vijijini hapa
 Hapa ni katika shule ya msingi ya Itete iliyopo wilaya ya Nkasi katika mkoa wa Katavi wakiwa wanasoma wakiwa wamekaa chini kabisa darasani. Shule hiyop ilianzishwa mwaka 1988 na inakabiliwa na ukata mkubwa wa madawati huku walimu wakiwalaumu wazazi kwa kushindwa kuchangia elimu kwa shule hiyo na kuchangia kununu madawati.
i
 Hapa wanafunzi wa mjini wakipewa ujumbe na mgeni aliyewatembelea ambapo aliwasihi masuala mbalimbali yahusuyo elimu hapa nchini
Hawa nao ni wanafunzi wa mjini wakijisomea kwa njia ya mtandao. Sasa unaona utofauti wa elimu kulingana na mazingira lakini hawa ambao wamesomea vijijini katika shida utashangaa kuwa hawatapewa hata mikopo

0 comments:

Post a Comment