Help Children
Love them
Saidia Watoto

Friday, October 12, 2012

Maktaba iliyopo kijiji cha Lushongo wilaya ya Pangani

 Pembeni yangu ni mwandishi mwandamizi wa gazeti la Nipashe Lulu George anawakilisha mkoa wa Tanga nilikuwa nae katika ziara hiyo ni pia mwanaharakati wa masuala mbalimbali likiwamo suala la elimu pia
 Katika kijiji cha Ushongo kilichopo Pangani vijijini kuna huyu jamaa ameanzisha maktaba yake kijijini humo ambapo anasomesha wanafunzi bure
 Nilipata nafasi ya kuzungumza na mmiliki wa maktaba hiyo

Sehemu ya mbele ya Maktaba hiyo ambapo ni ndogo lakini kwa vijijini kuwa na Maktaba kama hiyo ni kitu kizuri na cha kuvutia zaidi habari zaidi zinakuja

0 comments:

Post a Comment