Help Children
Love them
Saidia Watoto

Thursday, February 16, 2012

Watoto wa Tanzania Mitindo House wapewa fedha za kusoma


Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mahusiano wa Benki ya Stanbic, Abdallah Singano (kulia) akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 3 kwa Mkurugenzi wa Kituo cha Watoto Waathirika na VVU cha Tanzania Mitindo House (TMH), Bi Khadija Mwanamboka (kushoto) ikiwa ni msaada kwa kituo hicho kwa ajili ya kukabiliana na changamoto mbalimbali wakati maofisa wa benki hiyo walipotembelea kituo hicho Magomeni, Dar es Salaam jana. Wakishuhudia ni baadhi ya watoto wa TMH.

0 comments:

Post a Comment