Help Children
Love them
Saidia Watoto

Friday, February 17, 2012

Alice Foundation yatoa mafunzo ya katiba kwa wakazi wa Ubungo

 Bi Alice akiwa katika harakati zakuandaa notes kwa ajili ya wakazi hao ambayo iliandaliwa na Taasisi ya Alice kwa ushirikiano na Wizara ya Fedha ambapo elimu ya Mkukuta ilitolewa kwa watendaji na mwenyekiti serikali za mitaa zote katika kata ya Ubungo wilaya ya kinondoni Dar- es-salaam. wajasiriamali katika kata ya Ubungo pia walikuwepo.
 Alice akiwa na mtoa mada kutoka wizara ya Fedha
 Mtoa mada akiwafundisha wakazi hao masuala yahusuyo Mkukuta
 Wakazi wa Ubungo wakijadili masuala mbalimbali yahusuyo Mkukuta
Bi Alice akitoa neno la shukrani kwa wakazi waliohudhuria mafunzo hayo. Taasisi hiyo pia inajsihughulisha na masuala mbalimbali yahusuyo mazingira, kuwasaidia wanawake, Mkukuta na masuala mengine yanayoihusu jamii

0 comments:

Post a Comment