Help Children
Love them
Saidia Watoto

Tuesday, February 28, 2012

Kampuni ya kijerumani ya Merck yajitosa kupambana na kipindupindu kwa wanafunzi Pemba

 
Mwanafunzi wa shule ya Ngwachani iliyopo Zanzibar Selemani Sareh   akinywa dawa ya kichocho jana kuashiria uzinduzi wa kampeni ya kupambana na ugonjwa huo iliyozinduliwa na naibu waziri wa afya wa Zanzibar Sira Ubwa Mwamboga (mwenye kiremba) kushoto kwake ni Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya madawa ya kijerumani iitwayo Merck Dr. Karl Ludwig Kley
 Mwalimu akihamasisha


 wakipewa mapulizo
Naibu Waziri na wadau wa kutoka Ujerumani wakicheza muziki na kikundi cha ngoma za asili cha Pemba

0 comments:

Post a Comment