Help Children
Love them
Saidia Watoto

Thursday, July 26, 2012

Walimu tumieni hekima katika kuamua kugoma au la


WALIMU nchini kupitia chama chao wanatarajia kupiga kura ya kuamua kugoma au kuendelea na kazi kufuatia kushindwa kwa kufikiwa kwa mwafaka kati yao na serikali.

Uamuzi huo umekuja baada ya tume ya usuluhishi iliyokuwa ikisikiliza madai ya walimu hao kushindwa kuwasuluhisha walimu na serikali ambao kwa pamoja walikuwa katika mjadala wa kuhusiana na suala la ongezeko la mshahara.

Upigaji huo wa kura utaanzia tarehe 25 mwezi huu mpaka 27 ambapo idadi ya kura zao ndio zitaamua kuendelea kwa mgomo au la.

Mtandano huu wa elimuboratanzani unasisitiza suala la hekima kutumika zaidi katika kuamua nini kifanyike

0 comments:

Post a Comment