Help Children
Love them
Saidia Watoto

Sunday, October 13, 2013

Shirika lisilo la kiserikali la Hope 4 Young Gilrs latoa zawadi kwa washindi wa Insha

Watoto kutoka shule mbalimbali wakipatiwa ujumbe kwanza

Ongeza kichwa

Mgeni rasmi akitoa risala yake

Wanafunzi wakipewa vyeti







Wanafunzi walioshinda ndo hawa hapa


Habari Kamili.


TAASISI isiyokuwa ya kiserikali ya Hope For Young Girls imeendesha shindano la uandishi wa insha kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari.

Tukio hilo lilifanyika jumamosi iliyopita katika hoteli ya Giraffe na kuwashirikisha wazazi wa wanafunzi hao walioshinda.

Katika shindano hilo wanafunzi walioibuka na ushindi ni pamoja na Nicole Othman wa sekondariya Kenton.

Shahista Amini wa shule ya msingi  Mlimani pamoja na Conish Tayari wa shule ya msingi Mwenge.

Katikahafla hiyo mgeni rasmi alikuwa Naja Mammen Nielsen ambae ni mwakilishi kutoka Global Platform ya Upanga.

Katika hafla hiyo wanafunzi mbalimbali walipewa vyeti  vya kutambua ushiriki wao katika shindano hilo.

Wanafunzi hao ni Najima, Doreen,Grace,Agnes,Amie,Conish,Steve,Ashura,Janeth na Jane.
Mwisho  

0 comments:

Post a Comment