Help Children
Love them
Saidia Watoto

Thursday, May 24, 2012

Mfuko wa Tushikamane kusaidia wazee na masuala ya elimu nchini

 Mbunifu wa mavazi Binti Afrika akipewa zawadi kutoka kwa Mama Bilal kutokana na mchango wake siku hiyo ya kuchangisha michango ya kuwasaidia wazee pamoja na masuala ya elimu nchini
 Watoto hawa wanafunzi wakiwa wanaonesha mavazi yao siku hiyo walikuwa kama wanamitindo
 Huyu mwanafunzi ndio mzuka ulimpanda na akashinwa kupozi akajikuta akiruka ruka jukwaani
Mheshimiwa Mbunge wa jimbo la Kawe Halima Mdee akipita mbele ya jukwaa kuonesha mavazi yake ikiwa ni sehemu ya kuburudisha wageni waalikwa.

0 comments:

Post a Comment