Help Children
Love them
Saidia Watoto

Thursday, November 28, 2013

Nkenge Foundation kusaidia upatikanaji wa madawati

Waandishi wakifuatilia mkutano huo


Mbunge wa Nkenge Assumpter Mshama akiwa na msaidizi wake marabaada ya kuzungumza na waandishi wa habari jana


Mkuu wa Idara ya Habari Maelezo Asa Mwambene akiangalia harakati za Nkenge Foundation.

Habari Kamili
Mbunge wa jimbo la Nkenge mkoani Kagera, Assumpter Mshama kupitia Taasisi yake ya Nkenge,  leo anaendesha hafla ya chakula cha usiku kuchangia upatikanaji wa madawati ya wanafunzi wa mkoa huo pamoja na masuala mengi ye kimaendeleo.

Katika  hafla hiyo mgeni rasmi ni Makamu wa Rais Garib Billal 


0 comments:

Post a Comment