| Wanafunzi wa shule ya Premier Girls Secondary School wakionesha uwezo wao katika somo la Kemia |
| Hawa ni wanafunzi wa Secondary ya Loyola |
| wamebuni namna ya kutengeneza progamu mbalimbali za kompyuta |
| wakiwa kazini |
| Wachapishaji na wasambazaji wa vitabu kutoka kampuni ya Aidan |
| Hapa wataalamu kutoka Aida wakitoa maelezo kwa mgeni aliyetembelea banda lao |
| Wafanyakazi wakiangalia kitu katika kitabu |
| Wanafunzi wa shule ya msingi ya Uhuru Mchanganyiko wakiwa katika banda lao wakiimba pamoja huku mwenzao akipia gitaa wakati wa maonesho ya Elimu Expo yaliyomalizika juzi (Picha na Evance Ng'ingo |







0 comments:
Post a Comment