Help Children
Love them
Saidia Watoto

Sunday, May 21, 2017

Camara Education Tanzania yaendelea kuwanoa wanafunzi


Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika lisilokuwa la kiserikali linalojishughulisha na uwezeshaji wa elimu kwa njia ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, Tehama, Julia Pierre-nina akiwaelekeza jambo walimu kutokea shule mbalimbali namna bora ya matumizi ya Tehama, pembeni yake ni Mkuu wa Mauzo na Masoko, Adam Kawa (Picha na Evance Ng’ingo)

0 comments:

Post a Comment