Help Children
Love them
Saidia Watoto

Monday, February 2, 2015

Wanafunzi wakicheza baada ya masomo

Wanafunzi wakicheza mpira wa miguu baada ya kutoka darasani, hapo ni maeneo ya Temeke michezo ni kitu kizuri zaidi kwa wanafunzi lakini bado changamoto iliyopo ni uimarishaji wa Miundombinu bora ya michezo kwa watoto. Maeneo mengi hasa ya mijini hakuna maeneo ya wazi ya watoto kucheza 

0 comments:

Post a Comment