Help Children
Love them
Saidia Watoto

Tuesday, June 3, 2014

Shule ya mwanao kusoma ni shule ya Fountain Gate Academy iliyopo Tabata

Mwalimu Patrick Bryson akimwelekeza mwanafunzi wa darasa la saba Elizabeth Bryson somo la Science shuleni hapo

Hili ni darasa la wanafunzi wa shule ya awali shuleni hapowakicheza somo la muziki

Wanafurahi sana somo hilo

Happy kids

Panafaa kwa mwanao kusoma hapo

Ni sehemu ya masomo yao shuleni hapo, fika mapema na mpeleke mwanao

0 comments:

Post a Comment