Help Children
Love them
Saidia Watoto

Saturday, May 31, 2014

GENIUS CAP 2014 yapata washindi wake

Washindi walioingia  hatua ya tatu bora katika mashindano ya GENIUS CAP 2014, kutoka kulia ni mshindi wa kwanza John Reginald Bugeraha(13), mshindi wa pili Patrick Frank John(14) wote kutoka shule ya msingi Mount Everest, na mshindi wa tatu Samira Yahya Kishasha(12) kutoka Shule ya Msingi Anazak wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kukabidhiwa zawadi zao katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Mshindi wa kwanza: Afisa Elimu Mkuu kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Bw. Salum Salum akimkabidhi cheti na hundi ya Dola za Kimarekani 600 (600$)Mshindi wa kwanza wa mashindano ya GENIUS CAP 2014 John Reginald Bugeraha(13) kutoka Shule ya Msingi Mount Everest mara baada ya kutangazwa mshindi wa shindano hilo.

0 comments:

Post a Comment