Katibu Mkuu wa Taswa Amir Mhando akiwatambulisha wageni katika mkutano mkuu wa Chama Cha Waandishi wa Habari za Michezo( Taswa) ulioendana sambamba na semina kwa waandishi wa habari
Waandishi wakijitambulisha mmoja mmoja
Ikafika muda wa kupiga picha na mgeni rasmi wa mkutano huo Ridhwan
Mwandishi Mkongwe Mzee Salim akitoa mada katika mkutano huo
Mwenyekiti wa Taswa Juma Pinto akitoa elimu yake
Watoa mada wakiwa wanafuatilai...