Help Children
Love them
Saidia Watoto

Monday, October 21, 2013

Wanafunzi waliokosa mikopo kukumbukwa

SERIKALI imejipanga kuvikopa vyuo vikuu hapa nchini kwa ajili ya ada ya wanafunzi 1107 wa masomo ya kipaumbele waliokosa mkopo kutokana na fomu za maombi kuwa na dosari. Akizungumza mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii, Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo alisema hatua hiyo ni katika kutoa nafasi kwa wanafunzi hao hasa kutokana kompyuta kuwa na matatizo na baadaye kutoa fedha hizo kwa wanafunzi wengine. “Ni...

Sunday, October 13, 2013

Bonah Education Turst Fund yazinduliwa yaanza na kampeni ya kuchangisha ada

Kulikuwa na burudani safi Meneja wa Masuala ya Kijamii wa kampuni ya Tigo, Woinde Shisael akizungumza na waandishi kuhusiana na ushiriki wa Tigo katika kampeni hiyo Pia kulikuwa na Fashion Show Mkurugenzi Mtendaji wa Bonah Trust Fund, Bonah Kalua Kikundi cha Sanaa cha Safi Cultural Center Mwanamitindo Mahiri Asia alikuwapo kusaidia kutoa burudani Picha ya pamoja kati ya Bonah Kalua na wageni waalikwa Mimi niliamua...

Shirika lisilo la kiserikali la Hope 4 Young Gilrs latoa zawadi kwa washindi wa Insha

Watoto kutoka shule mbalimbali wakipatiwa ujumbe kwanza Ongeza kichwa Mgeni rasmi akitoa risala yake Wanafunzi wakipewa vyeti Wanafunzi walioshinda ndo hawa hapa Habari Kamili. Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...

Thursday, October 10, 2013

Fedha za mikopo kwishnei

KITENDO cha wanafunzi kukosa mikopo kwa muhula wa mwaka 2013 na 2014 inatokana na kuisha na hivyo kuwa chanzo cha baadhi ya wanafunzi kukosa mikopo kwa muhula wa masomo wa mwaka 2013/14.  Jana baadhi ya wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali ikiwa ni pamoja na Chuo Kikuu cha Dodoma Chuo Kikuu wa Iringa, Chuo cha Kiislamu cha Morogoro walikusanyika karibu na Ukumbi wa habari maelezo baada ya juhudi za kwenda Ikulu kugonga mwamba. Wizara ya...

Sunday, October 6, 2013

"Wakuu wa shule jitaidini kutatua kero zenu" Mchome

SERIKALI imetaka wakuu shule kuwa mstari wa mbele kutatua baadhi ya changamoto zinazokabili shula na walimu wakati serikali ikiwa inashughulikia matatizo yao. Kauli hiyo ilitolewa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Consolata Mgimba alipokuwa akitoa salamu za Katibu Mkuu, Profesa Sifuni Mchome wakati wa kufunga kitaifa mafunzo ya wakuu wa shule za sekondari Tanzania bara kwa ajili ya utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo ya...

Madarasa yanayovuja Kunduchi yapatiwa msaada

Na Mdau wa ElimuMADARASA matatu ya shule ya msingi Kunduchi iliyopo jijini Dar es Salaam yanavuja kiasi ambacho yamefungwa na kushindwa kuendelea kutoa huduma ya elimu kwa wanafunzi wa shuleni hapo. Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Pelagia Mdimi aliyasema hayo kayika maadhimisho ya miaka 25 ya benki ya Eco Tanzania ambayo imetoa misaada mbalimbali kwa shule hiyo ambayo imegharimu Sh milioni 48. Katika maadhimisho hayo benki ya ECo imetoa madawati 50,...

Thursday, October 3, 2013

Coke Studio, a platform for learning music

Famous Comedian in town who was the  Master of Ceremony, Evance Bukuku (left) Coca - Cola Brand Manager  Maurice Njowoka, Lady Jaydee and Evance from this blog Njowoka insists something to Jide Madee The B Band Diamond the Coca Cola's ambossodor Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...