Help Children
Love them
Saidia Watoto

Wednesday, March 28, 2012

Millen Magese amaliza kuwafundisha wanamitindo wake na sasa tayari kusafiri nao.

 "Ili muweze kuwa wanamitindo bora ndani na nje ya nchi inatakiwa kwanza mjiamini, mnasikia? na pia kuzingatia yale niliyowafundisha"  Mkiwa mbele ya watazamaji katika shoo mnapomaliza kutembea mnatakiwa kupozi hivi sawa? Sikia mdogo wangu huwa hizi nyusi zinatengenezwa hivi sawa? Na Mwandishi wa Elimu Bora Tanzania. Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Miss. Salha Haji Omar, from Mpapa Secondary School, was awarded a university scholarship for winning the Jahazi Literary & Jazz Festival schools writing competition.

                                         So many students attended                                          ...

Tuesday, March 27, 2012

Mbunge wa Mtwara mjini akabidhi msaada kwa Chuo Cha Utumishi wa Umma Mtwara

Kaimu Mkuu wa Chuo Cha Utumishi wa Umma Mtwara Seme Peter akipokea msaada kutoka kwa Mbunge wa Mtwara Mjini Hasnein Mu...

Chuo Cha Utumishi wa Umma Mtwara wakifuatilia kwa makini

Wanafunzi wa Chuo Cha Utumishi wa Umma Mtwara wakifuatilia kwa makini hotuba ya Mbunge wa Mtwara Mjini Hasnein Murji wakati alipoenda kukabidhi msaada wa shilingi milioni moja kwa Kaimu Mkuu wa Chuo hicho Seme Peter fedha hizo ni kwa ajili ya kununulia vifaa vya michezo chuoni h...

Monday, March 26, 2012

Mahafali ya nne ya Chuo Cha Utumishi wa Umma Zanzibar (IPA)

  Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...

Sunday, March 25, 2012

Dk Nzige aendelea kutoa elimu ya afya makazini

 Dk Nzige akifundisha naman ya kulinda afya kwa wafanyakazi wa kampuni ya magazeti ya serikali ya Tanzania Standard Newspaper (TSN) ambapo alichukulia mfano wa gari katika kuonesha kuwa kama gari linafanyiwa service iweje mwanadamu anashindwa kwenda kuufanyia service mwili wake Wafanyakazi wakifuatilia kwa makini somo kutoka kwa Dk Nz...

Friday, March 23, 2012

Birthday wishes sehemu za kazi zinaongeza mood ya kazi

 Birthday ya Charles Mtakateka wa kitengo cha Mikopo cha Kampuni ya Tanzania Standard Newspaper (TSN) akiwa na wafanyakazi wenzake wa kitengo hicho wakisherehekea siku ya kuzaliwa ya Mtekateka Akilishwa keki na Sekela mfanyakazi mwenz...

Let us use Harusi Trade Fair to aqcuire knowledge concerning Harusi

The Third  edition of  the Tanzania first and premier wedding fair preparation are all under way slated to be held this year starting from  30March-1stApril at Diamond Jubilee Complex filled with the very best of wedding suppliers and stakeholders for all wedding requirements. The founder and the organizer of this huge and remarkable annual event Mustafa Hassanali stated “This year’s event is going to be Bigger, Better...

Thursday, March 22, 2012

Winner of Jahazi Literary & Jazz Festival writing competition to be awarded scholarship

a   Miss. Salha Haji Omar, from Mpapa Secondary School, will be awarded a university scholarship for winning the Jahazi Literary & Jazz Festival writing competition - Writers’ for Peace - on Monday 26th March 2012. The Minister of Education, Mr. Ramadhan Abdalla Shaban, will award the scholarship to Miss. Omar, on behalf of a sponsor of the Jahazi Literary & Jazz Festival. Mr. Shaban said “Awarding a university scholarship is...

SEMINA YA MAWAKALA WATAKAOANDAA MASHINDANO YA REDDS MISS TANZANIA

Semina ya Mawakala watakao andaa mashindano ya urembo ya Redds Miss Tanzania 2012, itafanyika tarehe 29 na 30 Machi 2012 katika Hotel ya Giraffe iliyopo eneo la Kunduchi jijini D’salaam. Semina hii itawahusu Mawakala wa Mikoa, Kanda na Elimu ya Juu tu. Baada ya Semina hii Mawakala wa Mikoa wataendesha semina kwa Mawakala  wa Wilaya katika Mikoa husika..   Hii itakuwa semina elekezi ambpo pamoja na mambo mengine...