Help Children
Love them
Saidia Watoto

Monday, July 30, 2012

Usaili wa EBSS mikoani wamalizika elimu ya kutosha yatolewa kwa washiriki

 Umati wa vijana ambao walihudhuria usaili wa EBSS mkoani Tanga ambao pia walipata fursa ya kufundishwa muziki na majaji wa EBSS                                   Jaji Salama akitoa somo lake kwa baadhi ya washiriki wa siku hiyio Madam Ritha hakusita kutoa somo kwa mshiriki...

Saturday, July 28, 2012

Ukiwa una picha za Chuo, Shule za sekondari, msingi na chekechea tutumie tuweke humu bure

                                Sehemu ya mbele ya kuingilia geti la Chuo Kikuu cha Mzumbe Tawi la Mbeya                                               ...

Thursday, July 26, 2012

Walimu tumieni hekima katika kuamua kugoma au la

Normal 0 false false false MicrosoftInternetExplorer4 st1\:*{behavior:url(#ieooui) } /* Style Definitions */ table.MsoNormalTable {mso-style-name:"Table Normal"; mso-tstyle-rowband-size:0; mso-tstyle-colband-size:0; mso-style-noshow:yes; mso-style-parent:""; mso-padding-alt:0in 5.4pt 0in 5.4pt; mso-para-margin:0in; mso-para-margin-bottom:.0001pt; mso-pagination:widow-orphan; font-size:10.0pt; font-family:"Times New Roman"; mso-ansi-language:#0400; mso-fareast-language:#0400; ...

Monday, July 23, 2012

Mlale mahala pema wanafunzi mliopoteza maisha katika ajali ya MV SKAGIT

HIVI karibuni ilitokea ajali ya meli iliyokuwa  ikitokea bandari ya Dar es salaam kuelekea kisiwani Zanzibar ambapo watu wengi walipoteza maisha yao wakiwamo watoto wadogo. Mtandao huu wa elimu (elimuboratanzania.blogspot.com) unachukua fursa hii kuungana na watanzania kwa ujumla kuomboleza ajali hiyo. Ni dhahiri kuwa katika ajali hiyo kuna wanafunzi wa shule za msingi, sekondari na hata vyuo ambao walipoteza maisha hivyo kuacha pengo...

Suala la elimu lilivyogusiwa leo bungeni

Serikali imeongeza kiwango cha alama za kuwachagua wanafunzi wanaotakiwa kwenda kujiunga na elimu ya vyuo vya ualimu. Awali ilikuwa ni mhitumu wa kidato cha nne mwenye alama division 4.28 alikuwa anaweza kujiunga na elimu ya ualimu lakini kwa sasa ni wale wenye division 4.27 tu. Hatua hii ni nzuri kwa kuwa inawapatia nafasi wanaojiunga na ualimu kuwa katika mazingira mazuri ya kuwafundisha wanafunzi kwa kuwa nao wanakuwa ni wenye uelewa zaidi. Hayo yalisemwa leo na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Shukuru Kawambwa wakati akijibu...

Tuiunge mkono Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA)

Tangazo hili litakuwa rasmi kesho katika kurasa wa matangazo wa blog hii ya Elimuboratanza...

Sunday, July 22, 2012

Majaji wa EBSS waomboleza msiba wa meli Zanzibar, pia waendeleza somo la muziki

 Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano wa Zantel Awaichi Mawalla kulia akiwa pamoja na majaji wa EBSS 2012 wakiwa wamesimama kuomboleza msiba wa meli wa Zanzibar  Washiriki nao wakiwa wamesimama kuomboleza msiba huo Baadae waliendeleza zoezi la kufuatilia vipaji ambapo pia walitoa elimu kwa washiriki waliojitokeza katika usaili mkoani hapo. Normal 0 false false false MicrosoftInternetExplorer4 ...

Friday, July 20, 2012

Kipindi cha kufundisha vijana maisha kimerudi tena

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Tuesday, July 17, 2012

Hassan Maajar Trust (HMT) yakabidhiwa milioni 23 na Tigo kununulia madawati 745

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa (kushoto), akikadidhi mfano wa hundi yenye thamani ya Sh. mil 26, Mwenyekiti wa Kamati ya Harambee wa Taasisi ya Hasaam Maajar Trust (HMT), Dk Sinare Yusufu, kwa ajili ya kununa madawati 745 yatakayogawiwa katika shule za msingi zilizopo wilaya ya Njombe na Makete. Anayeshuhudia katikati ni Kaimu Meneja Mkuu wa Tigo, Andrew Hogdson ambayo imetoa Fedha hizo zilizotokana na michange ya matembezi...

Monday, July 16, 2012

Pazia la uchangiaji wa ujenzi wa hosteli za wasichana lilipofunguliwa rasmi huko KIbaigwa Dodoma

 Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii na Watoto Ummy Mwalimu akicheza ‘kwaito” na wanafunzi wa shule ya sekondari ya Kibaigwa katika hafla ya uzinduzi wa kampeni ya ujenzi wa mabweni 30 nchi nzima kwa mtoto wa kike   Waziri kivuli wa Elimu na mbunge wa viti maalumu kupitia CHADEMA Susan Lyimo akiongea katika hafla ya uchangiaji wa mabweni. Katika hafla hiyo jumla ya shilingi 37,214,000/= zilipatikana ikiwa ni ahadi pamoja na fedha...

Sunday, July 15, 2012

Majaji EBSS waendeleza elimu ya muziki kwa washiriki wa EBSS

 Jaji Master Jay akitoa elimu kwa mmoja kati ya washiriki waliojitokeza katika usaili wa Mwanza Mshiriki akiwa anasikilizia elimu hiyo mara baada ya kumaliza kuimba na kuambiwa kuwa alichemka. Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...

Thursday, July 12, 2012

TEA kuchangisha bilioni 2.3 kusaidia ujenzi wa hosteli za wasichana

 Meneja wa mawasiliano wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) Slyivia Lupembe akifafanua jambo kwa waandishi wa habari  Waandishi wa habari wakichukua habari ya kuhusiana na uchangiaji huo wa hosteli za wanafunzi wasichana Kaimu Mkuu wa TEA Esther Bayo akisisitizia jambo kuhusiana na uchangiaji huo Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Elimu Tanzania (TEA) kesho itazindua rasmi kampeni ya kuchangua ujenzi wa hosteli za wanafunzi wasichana...

Thursday, July 5, 2012

Tangaza nasi kwa bei poa

Kama inavyofahamika kuwa kwa sasa habari kwa njia ya mtandao ndio zinawafikia watu wengi kwa haraka zaidi, hivyo kwa kulitambua hilo blog hii imeamua kuanzisha njia hii kwa wadau kutangaza nasi kwa bei poa zaidi. Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba 0714 43 65...

Ukifika Sabasaba usikose kutembelea banda la Global Education Link LTD upate ushauri wa elimu nje ya nchi

                                                   Kwa  nje banda hilo linaonekana kama hivi Hapa ni ndani ya banda hilo ambapo utakutana na maofisa watakaokupatia ushauri mzuri wa masuala ya...

Sunday, July 1, 2012

EBSS mbali na kutafuta vipaji pia inatoa somo kwa washiriki

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...