
Mkurugenzi wa Wateja wakubwa wa Zantel Ahmed Seif katikati akifuatilia kwa umakini graduation hiyo
Wahitimu wenyewe ndio haooo
Pia walifanya maigizo kuwahamasisha wanafunzi wenzao wajitunze na janga la Ukimwi
Pia kulikuwa na mchango wa kusaidia masuala mbalimbali ya wanafunzi shuleni hapo
Seif akitoa risala yake
Wanafunzi waliwaimbia wenzao nyimbo mbalimbali
Pia kulikuwana zawadi kwa wanafunzi, wafanyakazi na walimu bora...