Help Children
Love them
Saidia Watoto

Wednesday, January 30, 2013

msikose kuna mengi ya kujifunza

...

Tuesday, January 29, 2013

Albino waliohitimu masomo yao wakabidhiwa vyeti

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Monday, January 28, 2013

Denti Lulu ashindwa timiza mashari ya dhamana

Hapa akisindikizwa kutoka mahakamani Mpolee akisubiria Hakimu amalize kazi yake, anatuhumiwa kuhusika na kifo cha msanii Steven Kanumba na jana alaishindwa timiza mashart ya dhamana na kurudishwa lupang...

Sunday, January 27, 2013

ICF na Kinu wanaendesha mjadala wa ICT kwa wanafunzi wa sekondari na vyuo

Amani wa Sekondari ya Tambaza ni mmoja wa waanzilishi wa ICF  Jumanne nae alitoa somo kwa vijana ambapo aliwasihi kuepuka uoga katika kujaribu na kuwataka kufahamu kuwa hakuna mafanikio bila ya kuwa hali na uthubutu Pia wadau mbalimbali wa ICT walikuwa wakifuatilia somo hilo KINU's  officials Kulikuwa na presentations mbalimbali kutoka kwa wadau wa ICT Nacy Sumari akifuatilia presentation yake kabla ya kuifanyia...

Meya wa Ilala Jery Silaa awataka wasanii kuielimisha jamii kuhusiana na amani

Silaa akimkabidhi Rais wa Shirikisho la Wasanii wa Filamu Tanzania (TAFF) shilingi milioni 3 kwa ajili ya kuanzisha ofisi za shirikisho hilo Akiwasalimia wapenzi wa burudani waliojitokeza katika ukumbi wa Dar Live Alipata muda wa kusalimiana na wasanii mbalimbali hapa akiwa na Jack wa Chuzi Mhh Meya na Batuli. Habari Kamili. Meya wa Ilala Jerry Silaa amewataka wasanii wa filamu na maigizo kuhakikisha kuwa wanaielimisha jamii kuhusiana...

Friday, January 25, 2013

Zantel ilivyonogesha graduation ya kidato cha sita Tambaza Secondary

Mkurugenzi wa Wateja wakubwa wa Zantel Ahmed Seif katikati akifuatilia kwa umakini graduation hiyo Wahitimu wenyewe ndio haooo Pia walifanya maigizo kuwahamasisha wanafunzi wenzao wajitunze na janga la Ukimwi Pia kulikuwa na mchango wa kusaidia masuala mbalimbali ya wanafunzi shuleni hapo Seif akitoa risala yake Wanafunzi waliwaimbia wenzao nyimbo mbalimbali Pia kulikuwana zawadi kwa wanafunzi, wafanyakazi na walimu bora...

Wednesday, January 23, 2013

Nilijifunza soko la muziki bongo na nikaingia rasmi katika muziki

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Vanesa Mdee akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na fani yake ya muziki "Mimi nasema nyie ngojeni muone kwanza vitu vyangu jinsi nitakavyokuwa nakamua" Aliwaimbia waandishi wimbo wake mpya uitwao Closer Omary akawasilizisha waaandishi wimbo huo.  Na Mwandishi wa Elimu Bora Tanzania Msanii wa muziki wa kizazi kipya Vanesa Mdee amesema kuwa ilimchuikua miaka kadhaa akiusoma muziki wa Tanzania...