Help Children
Love them
Saidia Watoto

Wednesday, November 28, 2012

Bendi ya muziki wa dansi kutoka nchini Scotland, Big Jess yawakuna wanafunzi Dar

British Airways' Commercial Manager Tanzania, Saada Juma akiwapatia soda wanafunzi hao siku hiyo Huyu dada hakuwa nyuma kusakata muziki na mwanafunzi huyu Wafanyakazi wakiwa wanaburudika na wanafunzi baada muziki kukolea Ikafika muda wa kucheza mmoja mmoja Mwanafunzi huyu aliwakilisha na mzungu wake huyu Umati mkubwa wa wanafunzi ulihudhuria hafla hiyo Commercial Manager wa British Airways Tanzania Saada Juma alijikuta akishindwa...

Mustapha atoa somo kwa wadau wa Swahili Fashion

Add caption                                                              Jack Mzindakaya muda wa pics Wadada hawa pia walikuwapo siku...

Tuesday, November 27, 2012

2012 a banner year for Heineken Tanzania

1024x768 Normal 0 false false false st1\:*{behavior:url(#ieooui) } /* Style Definitions */ table.MsoNormalTable {mso-style-name:"Table Normal"; mso-tstyle-rowband-size:0; mso-tstyle-colband-size:0; mso-style-noshow:yes; mso-style-parent:""; mso-padding-alt:0in 5.4pt 0in 5.4pt; mso-para-margin:0in; mso-para-margin-bottom:.0001pt; ...

Monday, November 26, 2012

Sharo Mlionea afariki Dunia kwa ajali ya gari.

Ajari ya gari iliyohusisha gari alilikuwa akisafiria msanii maarufu kama Shalo bilionea imepelekea msanii huyu kuaga dunia. Baada ya gari yake ndogo kupinduka akiwa safarini mkoani Tanga, alipoteza maisha hapohapo na kwamba maiti yake imehifadhiwa katika chumba cha maiti hospitali ya Muheza. ajari hiyo imetokea majira ya saa mbili usiku huu. Kazi yake Mola haina makosa na Mungu ailaze mahali pema peponi roho ya Marehemu msanii Sha...

TEA iliyochangisha fedha kwa ajili ya ujenzi wa mabweni ya wasichana

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Shukuru Kawambwa  akimkabidhi shilingi milioni 3 aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Asharose Migiro kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa mabweni ya wasichana Mdau wa masuala ya Mitindo nchini ambae ni mmiliki wa Blog ya 8020, anastahili pongezi kubwa sana kwa kuwa amewezesha marafiki zake na wadau wengine wa elimu kuchangia laki sita na uchafu kusaidia suala hilo la ujenzi wa mabweni Miss...

Sunday, November 25, 2012

Mamodel wa Swahili Fashion wapewa somo

Add caption Ilifika muda hata majaji walilazimika kubishana na kufikia hatua hata ya kutaka kupigana Wanamitindo wakipita mbele ya majaji Huyu jamaa aliwavutia watu wengi zaidi katika usaili huo Ililazimika kuvua nguo kuonesha miili yao Mh Mwajabu huyu ni mwanamitindo mkongwe Haka kadada nako ni kanamitindo kapya wakiwa katika picha ya pamoja wanamitindo hawa wa Swahili Fashion 2012   ...

Yani shule ya Michael Mausa we acha tu!!! wanafunzi wawashangaza wazazi wa vipaji vyao

Wahitimu wenyewe wakiwa wanatoa burudani Wanafunzi wa madarasa ya juu wakiwaangalia wenzao Wanafunzi waliohitimu mafunzo ya awali wakitoa burudani safi Mkurugenzi wa shule akitoa nasaha zao Mwanafunzi akisoma risala zake Burudani safi ikiendelea Pia kulikuwa na maigizo yenye ujumbe. Wanafunzi wa shule nzuri na ya kisasa ya Michael Mausa juzi walimaliza masomo yao ya awali ambapo walipata nafasi ya kuonesha vipaji vyao na...

KCB yatoa milioni 5/= kusaidia ujenzi wa mabweni ya wasichana nchini

Mdau huyu wa elimu aliamua kutoa USD 100 usiku huohuo kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa mabweni ya wasichana hapo akishikana mikono na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Asha Rose Migiro Inatia moyo kama familia kusaidia ujenzi wa mabweni ya wasichana kwa lengo la kuinua elimu ya wasichana nchini Add caption Head of Marketing and Corporate Affairs wa KCB Bank (T) Limited Christina Manyenye akikabidhi shilingi milioni tano kwa...