Help Children
Love them
Saidia Watoto

Sunday, September 30, 2012

Hongereni mliomaliza kidato cha nne

Hawa ni wahitimu wa kidato cha nne katika sekondari ya Pugu ambao wamewezeshwa na kuthibitisha kuwa wanaweza kwa hiyo ni vema kuwaendeleza wenye ulemavu ili waweze fikia malengo yao Hekaheka za kujiandaa na mitihani ya form four...

Monday, September 24, 2012

Vijana hawa wameandaliwa na kufundishwa vema na nido wanatumia elimu hiyo katika kubiridisha kwa sarakasi

 Wasanii wa Kikundi cha Shada, wakifanya onyesho la sarakasi katika ufunguzi wa tamasha la kimataifa la Sanaa Bagamoyo. Tamasha hilo limefunguuliwa rasmi Jumatatu na litaendelea kwa siku tano hadi Jumamosi ijayo  Moja kati ya mambo yaliyokuwa kivutio kikubwa ni jinsi watoto hao walivyoonyesha umahiri katika kuruka kwenye maringi. Wasanii wa kundi la Jeshi wakifanya onyesho la Mzingaombwe katika Tamasha la Sanaa la Bagamoyo...

Sunday, September 23, 2012

Uzembe unavyoweza sababisha ajali za barabarani

Tela la Roli hili lilikutwa limepinduka katika barabara ya Tabata Relini hii inatokana na uzembe wa kutozingatia elimu ya usalama wa barabarani                                                      ...

Thursday, September 20, 2012

MCHANGO WAKO UNAHITAJIKA HMT KUSAIDIA SHULE YA MSINGI YA KIVULE

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 Mkoani Dar es Salaam, wilaya ya Ilala kuna shule ya Msingi iitwayo Kivule ambayo ina jumla ya wanafunzi 3,585; madarasa 11, waalimu 30, na madawati 300. (Kwa mujibu wa takwimu zake za Januari 2012).  Kutokana na wingi wa wanafunzi...

wanafunzi wa darasa la saba na mitihani

Wanafunzi wa darsa la saba wamemaliza mitihani yao hii leo huku wengine wakiwa wamefanya mtihani huo wakiwa katika hali mbaya ya kimsaada kwa kuwa wlaikuwa hawana hata penseli au peni za kufanyia mtihani huo.  ...

Tuesday, September 18, 2012

Mengi atoa somo la biashara kwa wahariri wa vyombo vya habari nchini

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE   Mwenyekiti wa Chama cha Wamiliki wa Vyombo Vya Habari Nchini            (MOAT) Regnard Mengi akipokea hati ya usajili ya Chama Cha Kuweka na Kukopa cha Wahariri, Wahariri Development Saccos kutoka kwa...

Sunday, September 16, 2012

Mazingira ambayo yahitaji na pia yanaihathiri elimu nchini

 Pasipokuwa na elimu ya kutosha kwa waendesha bodaboda hali inaweza kuwa mbaya zaidi kwa usalama wao kwa kuwa wengi wao watazidi kufa siku hadi siku. Hapa unaweza kujiuliza kuwa mahala ambapo kuna shida kubwa ya maji kama hii je wanafunzi wanaweza kuwahi kwenda shule kuendelea na masomo yao, picha hii inatoa habari kuwa mahala penye shida ya maji basi hata maendeleo yao ya elimu nayo pia yanaweza kuwa ya shida pi...

Ay afanya ziara ya kimafunzo katika ofisi za magazeti ya serikali ya Habari leo na Daily news

Akisalimiana na mmoja kati ya waandishi waandamizi wa gazeti la habari leo  Akipeana hai na mwandishi wa habari wa Daily News online wakati alipotembelea ofisi ya magazeti ya serikali Hapa akisalimiana na wasanifu kurasa wa gazeti la habarileo alipotembelea banda la...

Saturday, September 15, 2012

Zantel kuwaendeleza kielimu wachezaji wa African Lyon

Kampuni ya simu za mkononi ya Zantel imetangaza nia ya kusaidia timu ya soka ya African Lyon ikiwa pamoja na kusaidia kuendeleza elimu kwa vijana waliopo katika Academy ya timu hiyo kijana huyu pichani atasaidiwa kwenda kusoma nchini Marekani Mmoja kati ya maofisa wa Zantel, Natasha, akitoa zawadi kwa washiriki waliohudhuria hafla hiyo...

Wednesday, September 12, 2012

Wakufunzi wa makocha wapewa somo

Wakufunzi wa makocha waliopo hapa jijini kwa semina ya siku nne wakipewa somo na mwalimu wao katika viwanja vya Karume j...

Mamis kinondoni wazidi kujifua, wapewa elimu ya kujiamini

Mwandaaji wa Miss Kinondoni Vivian Sirikwa akiwafunda washiriki wa shindano hilo ambalo litafanyika Ijumaa hii katika ukumbi wa Kasa uliopo Mikoch...

Monday, September 10, 2012

Rais Kikwete azindua chuo cha kijeshi nchini kilichopo Kunduchi Dar es salaam

Rais Jakay Kikwete akipena mkono nma Meja Jenrali Charles Makalala mara baada ya kumkabidhi funguo ikiwa ni inshara ya ufunguzi wa chuo hicho kilichopom Kunduchi, Dar es salaam Rais Kikwete akiwa na wakuu mbalimbali wa chuo hicho mara baada ya kukizindua leo Hapa akikizindua rasmi chuo hicho jana ambapo alittoa wito kuwa kinatakiwa kuendeleza elimu ya kijeshi na kuwa mfano wa kuigwa ndani na nje ya bara la Afrik...

Sunday, September 9, 2012

Msaada huu kwa watoto wenye ulemavu utawasaidia kusoma vema

wheelchairs znz Ally Sihaji and son Hilali Silaji 13 years old Salama Zaharani (10) na wazazi wake Sadra Hassan (9) Normal 0 false false false MicrosoftInternetExplorer4 st1\:*{behavior:url(#ieooui) } /* Style Definitions */ table.MsoNormalTable {mso-style-name:"Table Normal"; mso-tstyle-rowband-size:0; mso-tstyle-colband-size:0; mso-style-noshow:yes; mso-style-parent:""; ...

Saturday, September 8, 2012

Wanafunzi washiriki mashindano ya riadha ya taifa

Wawakilshi wa Umiseta wakiwawakilishi wanafunzi katika mashindano ya taifa ya raidha yanayoendelea katiak uwanja wa taifa jijini Dar es salaam ambapo kwa mwaka huu mashindano hayo yametoa nafasi kwa wanafunzi kuwakilishwa na wenzao hao katika mashindano hayo ya taif...

Friday, September 7, 2012

Elimu ya michezo ikitolewa mapema inasaidia kujenga na kuinua vipaji

Watoto hawa walikutwa wakijifunza kucheza mchezo wa Tennis, mafunzo kama haya yanapotolewa mapema yanasaidia kuwajengea uwezo na kujua vipaji vyao mapema. Ni vema wazazi wakawa wanawapeleka watoto wao katika viwanja kama hivi kujifunza michezo mbalimb...

Namna ya kujifunza kucheza gofu

Wasichana hawa walikutwa na mpiga picha blog hii wakijifunza namna ya kupiga vizuri mpira wa g...

Tuesday, September 4, 2012

Mengi ya kujifunza katika maonesho ya siku ya wakandarasi Mlimani City

Joan Kayamba aliyekaa akijadiliana jambo na mwenzake wakati wa maonesho ya siku ya wakandarasi yaliyofanyika jana katiak ukumbi wa Karimjee Joana Kayamba na mwenzake wakitoa mafunzo ya matumizi ya marumaru zao katika maonesho hay...

Polis wazingatie mafunzo yao kuhusiana na masuala ya haki za binadamu

Huyu askari alimwelekezea mtutu tumboni na kumsambaratisha marehemu. Ni wazi watu wa Iringa wanamfahamu askari huy...