Help Children
Love them
Saidia Watoto

Friday, September 27, 2013

Elimu kupinga ugaidi ianzie ngazi ya chini

Askari akiwakoa watu waliokuwa kwenye Mall hiyo  HIVI karibuni nchini Kenya katika jiji la Nairobi kulitokea tukio kubwa na la kusikitisha lililohusisha magaidi wa kundi la El Shabab kuvamia na kuua watu wasiokuwa na hatia waliokuwa kwenye Mall ya West gate nchini humo. Tukio hilo la aina yake limegusa nyoyo za watu wengi duniani kote hasa ikizingatiwa kuwa wapo watu mbalimbali wakiwamo wanawake na watoto wameuwawa katika tukio hilo. Mauaji...

Wednesday, September 25, 2013

Mengi ya kujifunza katika tamasha la Sanaa Bagamoyo

Msanii maarufu hapa nchi wa muziki wa kisasa Misoji  Nkwambi   wa katika  wa kushoto ni mwanachuo  Safina Amani na wakulia ni Clement Chares akicheza ngoma na hivi sasa misoji ni mwanachuo wa chuo cha sanaa bagamoyo .(Picha kwa Hisani ya Simon Makala, Mwanamakala blogspot.com). “WANACHUO TUNACHEZA HIVI’ wanachuo wa chuo cha sanaa bagamoyo wakicheza ngoma kwenye tamasha la sanaa la kimataifa linalofanyika katika...

Tuesday, September 24, 2013

Wanafunzi 300 kukosa mikopo

Zaidi ya wanafunzi 300 wa elimu ya juu wa vyuo mbalimbali watakosa mikopo kutoka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), kutokana na kushindwa kujaza fomu za kuomba mikopo katika kipindi kilichowekwa.  Watakaokosa mikopo hiyo kwa mwaka wa masomo wa 2013/2014 ni kuanzia mwaka wa pili na kuendelea, ambao hawakujaza fomu za kuonyesha taarifa zao mpya kwa bodi.  Wanafunzi hao walitakiwa kuwasilisha maombi ya kupewa mikopo...

Monday, September 16, 2013

Copa Coca Cola yawagusa wanafunzi

Results Best Goal Keepers - Temeke Girls - Shamimu Hamisi - TZS 500,000/-                  - (N/A)  Boys  - Beya Yahaya - got TZS 500,000/-Best Scorers - Mwanza Girls - Yolita Msanyiwa - got TZS 500,000/-            - Mjini Magharibi Boys - Juma Ally Yusuph - got TZS 500,000/-Best Players (MVP) - Mwanza Girls - Hamisa Othman (got TZS 500,000/-) ...

Friday, September 13, 2013

Pata tiketi yako hapa ya Dinner ya madawati

Tickets are available at:  HMT office, Oysterbay Shopping Center HMT Charity Shop, Kinondoni (near Vijana Hall) Bianca Salon Spa & Bridal Care, Mbezi Beach (Opp. Ambrosia)  Amercican Nails TZ, Kinondoni Muslim Eve Collections, The Arcade Mikocheni Kiki's Fashion, Oysterbay...

Tuesday, September 10, 2013

Mtihani darasa la pili poa-- wazazi

BAADHI ya walimu wa shule za msingi wamefurahishwa na serikali kuanzisha mtihani wataifa wa darasa la pili  kuwa itasaidia kutiliwa mkazo kwa elimu ya awali na kuongeza ufaulu katika mitihani ya darasa la nne. Aidha,amebainisha kuwa mtihani huo ikiwa utatiiliwa mazona wizara ya elimu ipasavyo tatizo wanafunzi kutojua kusoma au kuandika itakuwa ndoto. Mwalimu mkuu wa shule ya msingi mkoani Jane Mganwa alisema wamefurahishwa na mpango huo ambao...

Monday, September 9, 2013

Mtihani wa darasa la pili umeanzishwa, nini maoni yako

Na Mwandishi Wetu MTIHANI mpya wa Taifa, utaanzishwa kwa wanafunzi wa darasa la pili nchi nzima, ili kuchuja watakaoshindwa kusoma, kuandika na kuhesabu. Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo, alisema hayo jana alipokuwa akitangaza kuanza kwa Mtihani wa wa Taifa wa Kumaliza Elimu ya Msingi Tanzania Bara. Mtihani huo wa kumaliza elimu ya msingi, unatarajiwa kufanyika kesho na keshokutwa na kuhusisha watahiniwa 868,030 waliosajiliwa. *Darasa...

Sunday, September 8, 2013

Shule ya wasichana ya Mtakatifu Christina yashinda shindano la Kiingereza

SHULE ya wasichana ya St.Christina imekuwa kinara kati ya sekondari 22 zilizoshirikimashindano ya kuzungumza lugha ya Kiingereza ya ‘Bavaria Malt EnglishCompetition for Tanga secondary schools 2013’ yaliyojumuisha wanafunzi zaidi ya100 kutoka wilaya tano za mkoani humo.Shule hiyo ilizawadiwa seti moja ya Compyuta na printa ambapo mshindi wa pilisekondari ya Popatlal iliondoka na seti ya Kompyuta huku Sekondari ya Rosminiliyoibuka mshindi wa tatu...

Thursday, September 5, 2013

Tukio hili ni muhimu kwetu wadau wa elimu hivyo twendeni tukasaidie

...

Monday, September 2, 2013

Onesho la elimu la Elimu Expo limefungwa rasmi, lilifana sana

Wanafunzi wa shule ya Premier Girls Secondary School wakionesha uwezo wao katika somo la Kemia Hawa ni wanafunzi wa Secondary ya Loyola wamebuni namna ya kutengeneza progamu mbalimbali za kompyuta wakiwa kazini Wachapishaji na wasambazaji wa vitabu kutoka kampuni ya Aidan Hapa wataalamu kutoka Aida wakitoa maelezo kwa mgeni aliyetembelea banda lao Wafanyakazi wakiangalia kitu katika kitabu Normal 0 ...

Msanii Lulu sasa kurudi shule, uzinduzi wake wafana

Wasanii wakongwe waliohudhuria uzinduzi huo Steve Jb na wazungu wanaotengeneza siri ya mtungi Lulu na meneja wake Rukaza Yahaya, Dude Msanii Lulu akiimba Mama Kanumba akipewa mihela na Wema Wageni Habari Msanii wa filamu Elizabeth Michael ambae amezindua filamu yake jusi ya Foolish Age amesema kuwa kwa sasa mpango wake pi ani kurudi shule kuongeza elimu. Aliiambi abolg hii kuwa amekuwa akifanya sanaa kwa muda na kwa...