
Askari akiwakoa watu waliokuwa kwenye Mall hiyo
HIVI karibuni nchini Kenya katika jiji la Nairobi kulitokea tukio kubwa na la kusikitisha lililohusisha magaidi wa kundi la El Shabab kuvamia na kuua watu wasiokuwa na hatia waliokuwa kwenye Mall ya West gate nchini humo.
Tukio hilo la aina yake limegusa nyoyo za watu wengi duniani kote hasa ikizingatiwa kuwa wapo watu mbalimbali wakiwamo wanawake na watoto wameuwawa katika tukio hilo.
Mauaji...