Help Children
Love them
Saidia Watoto

Sunday, June 23, 2013

Ikiwa bado wiki moja wanafunzi 60,000 wameomba mkopo HESLB

Na Mwandishi Wetu WAKATI ikiwa imebaki wiki moja kwa wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu wanaohitaji mikopo kuwa wamewasilisha maombi kabla ya muda wa ukomo, wanafunzi zaidi 60,000 wamejitokeza kuomba kupatiwa mikopo.  Bodi  ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) katika taarifa yake, imesema mchakato huo ulioanza Mei Mosi mwaka huu na mwisho wa kutuma maombi ni Juni 30.  Imesema mchakato unaendelea vizuri na  wanafunzi...

UDSM yaanza kutoa degree ya Petroli

Na Mwandishi wa Elimu BoraCHUO Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) mwaka huu kinaanza kutoa Shahada ya Kwanza ya Sayansi katika Petroli, Jiolojia na Uhandisi wa Mafuta.Hatua hiyo imefikiwa baada ya Kampuni ya General Electron (GE) na Chuo  hicho kusaini makubaliano ya ushirikiano  kuongeza wataalamu wa gesi na mafuta nchini.Makubaliano hayo yalifikiwa mwishoni mwa wiki baada ya Makamu Mkuu wa UDSM  Profesa Rwekaza Mukandala kusaini mkataba...

Fast Jet ilivyonogesha Siku ya Muziki Duniani, mengi ya kujifunza

Fast Jet's Commercial Manager Jean Uku Wafanyakazi wa Fast Jet Wakitoka kumpongeza msanii ambae ni mfanyakazi wa Fast Jet Nyemo Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Thursday, June 20, 2013

Msanii wa filamu aibuka mteja wa laki 2 wa Fast Jet, kupewa ofa ya kupumzika yeney mafunzo ndani yake

Ilikuwa ni surprise akielezea furaha yake Ongeza kichwa Ndo huyu mwanadada Bsi wa Fast Jet akihojiwa Akiagwa Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Wednesday, June 19, 2013

Zantel kuelimisha wakulima kupitia SMS

72 1024x768 Mkurugenzi wa Kilimo wa wizara, Daktari Mshindo Msola, alielezea kufurahishwa kwake na huduma hiyo Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...