Help Children
Love them
Saidia Watoto

Tuesday, February 24, 2015

Tigo yawakumbuka walimu Morogoro

Tigo is committed to ensure that teachers in schools and other learning institutions in the country have access to the Internet. This was said today by the company Interim General Manager, Cecile Tiano, when handing over 50 smartphones provided on credit by Tigo to teachers of Bungo Primary school in Morogoro as a pilot phase of a countrywide initiative by the telecom increase internet access in learning institutions.As part of the package, the...

Saturday, February 21, 2015

Chuo cha kwenda ni Eden Hills

HILI NI TANGAZO MAALUM MKUU WA CHUOEDEN HILLS COLLEGE - KIBAHA NA MLANDIZICHUO BORA TANZANIA CHA DIPOLOMA NA CERTIFICATE KATIKA MASOMO YA BIASHARA, MASOKO,UALIMU,UHASIBU,USHAURI NASAHA,USIMAMIZI WA FEDHA ,UBOHARIA, UANDISHI WA HABARI,UONGO, COMPYUTA, UTAWALA, UTALII, MAENDELEO YA JAMII,MAHUSIANO YA UMMA, MAHUSIANO YA KIMATAIFA NA DIPLOMASIASIMU NAMBA     0715 318 278, 0719 318 278    Chuo kimesajiliwa na selikalini...

Wednesday, February 18, 2015

Haya wale wa ku reseat hii inawahusu

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Dk. Charles Msonde.Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania anapenda kuwatangazia watu wote wanaotaka kufanya Mtihani wa Kidato Cha Nne (CSEE) na Maarifa (QT) Mwezi Novemba 2015 kwamba usajili umeanza rasmi tarehe 01 Januari 2015. Watahiniwa watakaojisajili katika kipindi cha kawaida yaani tarehe 01 Januari 2015 hadi 28 Februari 2015 watalipa ada ya Shilingi 50,000/- kwa wanaojisajili...

Monday, February 2, 2015

Wanafunzi wakicheza baada ya masomo

Wanafunzi wakicheza mpira wa miguu baada ya kutoka darasani, hapo ni maeneo ya Temeke michezo ni kitu kizuri zaidi kwa wanafunzi lakini bado changamoto iliyopo ni uimarishaji wa Miundombinu bora ya michezo kwa watoto. Maeneo mengi hasa ya mijini hakuna maeneo ya wazi ya watoto kucheza ...

Sunday, February 1, 2015

Kipindi cha elimu cha Hatua Jithamini chazinduliwa rasmi

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Mawasiliano ya Abel and Fernandez akizungumza na wanafunzi wa shule ya msingi Uzuri kuhusiana na kipindi hicho Mazungumzo yakiendelea                                           Meneja Masoko wa Cowbell...

Unesco yateta na wanafunzi wa Buhangija

Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues akimsikiliza kwa makini Mkuu wa kitengo cha watoto walemavu shule ya msingi Buhangija Jumuishi ya mkoani Shinyanga Mwl. Loyce Daudi aliyekuwa akimwelezea changamoto mbalimbali walizonazo shuleni hapo.(Picha na Zainul Mzige). Na MOblog, Shinyanga SHULE ya watoto wenye ulemavu ya Buhangija Jumuishi inakabiliwa na changamoto...

Binti albino alietekwa apatikane == UNDP

Mtaalam wa Mahusiano na Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania, Hoyce Temu akimtambulisha Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (katikati) alipoitishia mkutano na waandishi wa habari jijini Mwanza mara baada kuhitimisha ziara zake Kanda ya ziwa. Kushoto ni Mshauri wa masuala ya haki za binadamu kutoka ofisi ya mratibu mkazi wa UN Tanzania,...