Help Children
Love them
Saidia Watoto

Monday, July 31, 2017

PiMAK yafungua duka Dar

Mmiliki wa kampuni hiyo, Riza Ergun akiwa na wadau kadhaa waliojitokeza kwenye uzinduzi huo Wafanyakazi na wageni waliojitokeza siku hiyo ya uzinduzi wa duka Riza Erguna akikata utepe kuashiria uzinduzi wa duka lake hilo hapa nchini Na Mwandishi WetuKAMPUNI ya kimataifa inayojihusisha na utengenezaji na uuzaji wa vifaa vya mbalimbali vya mapishi kwenye hoteli , PiMAK  imefungua duka hapa nchini lililopo Mnazi Mmoja, Dar es...

Wednesday, May 24, 2017

MKUU WA WILAYA YA UBUNGO AAGIZA KUANZA UJENZI WA MADARASA MANNE NA VYOO VYA SHULE YA SEKONDARI MBURAHATI

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori akizungumza wakati wa ziara yake ya kikazi katika shule ya Sekondari Mburahati iliyopo Katika Mtaa wa Barafu, Kata ya Mburahati Jijini Dar es salaam.Leo Jumatano, Mei 24, 2017 Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori akisikiliza maelezo kuhusu shule ya Sekondari Mburahati mara baada ya kuzuru shuleni hapo.Leo Jumatano, Mei 24, 2017 Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Mburahati Ndg Bagaya Kashato...

Monday, May 22, 2017

Rambirambi za waliopoteza maisha St Vicent zazidi kutolewa

 Wa kwanza kulia ni mwakilishi wa chama cha wamiliki wauza mafuta rejareja  Kanda ya kaskazini  Deipyen Bameda  (TASDOA ) katikati ni Katibu mkuu  TASDOA Tinno Mmasi akiwa anafafanua jambo mara baada ya kumkabidhi mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo Rambirambi zao za vifo vya wanafunzi 32 wa Lucky Vicent  Dare salaam Independent School (DIS) Anna Msangi akiwa anakabidhi kiasi cha shilingi milioni tatu kwa mkuu...

Sunday, May 21, 2017

Camara Education Tanzania yaendelea kuwanoa wanafunzi

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...