Help Children
Love them
Saidia Watoto

Friday, October 23, 2015

KIU kuwaokoa vijana dhidi ya dawa za kulevya

Mafunzo yakiendelea kutoka KIU Mtaalamu akitoa somo Na Evance Ng'ingo SUALA la dawa za kulevya linazidi kuchukua sura mpya kila kukicha ambapo serikali pamoja na wadau wengine kadhaa wamekuwa wakipambana katika kuhakikisha kuwa wanalitokomeza janga hilo. Wadau mbalimbali wamekuwa wakiendeleza mapambano dhidi ya janga hilo kwa kutumia njia mbalimbali ambazo zinalenga kuondoa kabisa matumizi ya dawa za kulevya. Licha ya juhudi...

Thursday, October 15, 2015

Shule ya Mtakuja yakumbukwa

PriceWaterhouseCoopers (PWC) donated 563 books, worth TZS 4.1 million to the to the Mtakuja Secondary School (Kinondoni library).  Bachi Shirima of PriceWaterhouseCoopers handedover books to Lucy Peter, Head of the English Department.  Also present were PWC staff, library prefects and Realising Education/READ International Executive Director, Montse Pejuan.many than...

Saturday, October 10, 2015

Star Time yazungumza na wateja wake, yaahidi makubwa zaidi

Meneja wa Operesheni wa king'amuzi cha Star Time Gaspa Ngowi kulia akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana huduma za king'amuzi hicho ikiwa ni sehemu ya huduma kwa wateja wa king'amuzi hicho Balozi wa kingamuzi cha Star times Shafii Dauda akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na masuala mbalimbali yahusuyo king'amuzi hicho ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateaj wa king'amuzi hicho Habari kamili Katika kuadhimisha...

Thursday, October 1, 2015

Taasisi ya elimu Tanzania yakopeshwa bilioni 3 na Mamlaka ya Elimu

Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Prof. Sifuni Mchome (katikati) akizungumza na waandishi wa habari wakati Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) na Mamlaka ya Elimu (TEA) zilipotialiana saini mkataba wa makubaliano ambapo TEA itaipatia TET Mkopo wa Sh Bilioni 3 kwaajili ya kuandaa mitaala na kuchapisha vitabu vitakavyotumiwa na wanafunzi shule za msingi nchini kuanzia darasa la tatu hadi la sita. Prof Mchome, amewataka TET kuhakikisha...