Help Children
Love them
Saidia Watoto

Sunday, November 22, 2015

NYAKOREMA RIOBA donates books to READ International

Nyakorema Rioba left, giving a book to a Read representative   Nyakorema Rioba delivered a donation of her new book ‘Nitakuwa Mfano’ (I will be a role model) to READ International on Friday 20 November.   Her books will be placed to new libraries that READ will be setting up in 2016 in Mtwara, Ruvuma, and Dar-es-Salaam.Nyakorema is a mother of 2 and a female engineer working at the Tanzania Bureau of Standards, with an interest...

Tuesday, November 3, 2015

Mdau wa Mitindo Deo atoa somo kwa models wa Black fox

  Na Mwandishi WetuVIJANA wanaojifunza fani ya Uanamitindo hapa nchini wametakiwa kutumia muda wao mwingi kujifunza fani hiyo kutoka kwa wanamitindo wenzao wa nje ya nchi. Wito huo ulitolewa juzi na mdau wa fani hiyo ambae ni mtangazaji wa kipindi cha Nirvana kinachorushwa na kituo cha Luninga cha East Afrika, Deogratius Chitama wakati akizungumza na vijana wanaojifunza fani hiyo. Deo alisema kuwa kutokana na ugeni wa fani hiyo hapa nchini vijana...

Friday, October 23, 2015

KIU kuwaokoa vijana dhidi ya dawa za kulevya

Mafunzo yakiendelea kutoka KIU Mtaalamu akitoa somo Na Evance Ng'ingo SUALA la dawa za kulevya linazidi kuchukua sura mpya kila kukicha ambapo serikali pamoja na wadau wengine kadhaa wamekuwa wakipambana katika kuhakikisha kuwa wanalitokomeza janga hilo. Wadau mbalimbali wamekuwa wakiendeleza mapambano dhidi ya janga hilo kwa kutumia njia mbalimbali ambazo zinalenga kuondoa kabisa matumizi ya dawa za kulevya. Licha ya juhudi...

Thursday, October 15, 2015

Shule ya Mtakuja yakumbukwa

PriceWaterhouseCoopers (PWC) donated 563 books, worth TZS 4.1 million to the to the Mtakuja Secondary School (Kinondoni library).  Bachi Shirima of PriceWaterhouseCoopers handedover books to Lucy Peter, Head of the English Department.  Also present were PWC staff, library prefects and Realising Education/READ International Executive Director, Montse Pejuan.many than...

Saturday, October 10, 2015

Star Time yazungumza na wateja wake, yaahidi makubwa zaidi

Meneja wa Operesheni wa king'amuzi cha Star Time Gaspa Ngowi kulia akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana huduma za king'amuzi hicho ikiwa ni sehemu ya huduma kwa wateja wa king'amuzi hicho Balozi wa kingamuzi cha Star times Shafii Dauda akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na masuala mbalimbali yahusuyo king'amuzi hicho ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateaj wa king'amuzi hicho Habari kamili Katika kuadhimisha...

Thursday, October 1, 2015

Taasisi ya elimu Tanzania yakopeshwa bilioni 3 na Mamlaka ya Elimu

Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Prof. Sifuni Mchome (katikati) akizungumza na waandishi wa habari wakati Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) na Mamlaka ya Elimu (TEA) zilipotialiana saini mkataba wa makubaliano ambapo TEA itaipatia TET Mkopo wa Sh Bilioni 3 kwaajili ya kuandaa mitaala na kuchapisha vitabu vitakavyotumiwa na wanafunzi shule za msingi nchini kuanzia darasa la tatu hadi la sita. Prof Mchome, amewataka TET kuhakikisha...

Tuesday, September 22, 2015

Wasemavyo wanafunzi wa Marekani kuhusiana na ujio wa Papa nchini humo

...

Saturday, August 22, 2015

Nini mtazamo wako katika usafirishwaji wa wanafunzi hawa?

Wanafunzi wa shule ya msingi Uhuru Mchanganyiko wakiwa wamerundikwa kwenye kiti kimoja cha nyuma ya dereva katika basi litokalo Kariakoo kuelekea Yombo Vitu...

Friday, August 21, 2015

Marufuku kuwafukuza wanafunzi kwa kushindwa kufauku-- Wizara

Na Mwandishi WetuWIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imesema ni marufuku kukaririsha darasa, kuhamisha au kufukuza wanafunzi wa shule za msingi na sekondari kwa kushindwa kufikisha wastani wa alama za ufaulu wa shule. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Wizara hiyo na kusainiwa na Kaimu Katibu Mkuu, Consolata Mgimba, ilisema Kumejitokeza tatizo la baadhi ya Shule za Sekondari zisizo za Serikali kukaririsha, kuwahamisha au kuwafukuza wanafunzi...

Thursday, July 30, 2015

Fuatiliana kuhusiana na elimu na Tehama

Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, Al Amin Yusuph, akielezea mantiki ya warsha ya wadau wa elimu kuhusu viwango vya umahiri wa Tehama kwa wakufunzi wa vyuo vya ualimu Tanzania iliyofanyika mjini Bagamoyo, mkoa wa Pwani mwishoni mwa juma. Na Mwandishi Wetu, Bagamoyo SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), limesema litaendelea kushirikiana...

habari ya elimu

<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_8896.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-141475" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_8896.jpg" alt="IMG_8896" width="640" height="427" /></a></p> <p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama...