Help Children
Love them
Saidia Watoto

Monday, April 21, 2014

Wanafunzi wa vyuo wawataka Ukawa kujea bungeni

Chanzo gazeti la HabarileoWANAFUNZI kutoka vyuo 10 vya elimu ya juu nchini, wamewasihi wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kurejea ndani ya Bunge Maalumu la Katiba kuendelea na majadiliano.  Waliyasema hayo katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika jana jijini Dar es Salaam na kushutumu hatua yao ya kususia vikao vya Bunge hilo wakisema kitendo cha kueneza propaganda chafu kuhusu Katiba mpya nje ya ukumbi wa Bunge, ...

Julieth katika graduation yake ya kidato cha sita Tusiime

Kwaya ya wanafunzi  ikatumbuiza Ofisa elimu kwa mkoa wa Dra es salaam Raymond Mapunda ndio alikuwa mgeni rasmi Elizabeth akipewa zawadi Eliza akipewa zawadi ya maua na ndugu yake Add caption Akakutana na ndugu yake mwengine nje Alikuwa mwenye furaha Akiwa na mama yake na rafiki yake Akiwa na baba yake akamvalisha taji Na mama na baba yake Picha ya pamoja Huyu ni mwanafunzi ambae nae...

Thursday, April 17, 2014

Proin kupitia TMT yazidi kuchanja mbuga kutafuta vipaji vya uigizaji

CODES: SHINDANO la kusaka vipaji vya uigizaji linaloandaliwa na kampuni ya utengenezaji na usambazaji wa filamu, Proin Promotion limewanasa washindi watatu kutoka mkoani Dodoma. Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Kampuni hiyo Josephat Lukaza aliwataka washindi hao kuwa ni Joyce Rebeca, Moses Obunde naMwinshehe Mohamed. Washindi hao wamepatikana kutokana umahiri wao wa kuigiza walioonesha kwenye shindano hilo maarufu kama Tanzania MovieTalent. Alisema...

Friday, April 4, 2014

Jerry Slaa na kiu ya kutatua kero za elimu Ilala

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, ambaye pia ni Diwani wa kata ya Gongo la Mboto Jerry Silaa akiwasili kwenye shule ya sekondari Pugu kwa ajili ya kukabidhi madawati 300 kwa shule tatu zilizopo manispaa ya Ilala na kulakiwa na Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo Jovinus Mutabuzi.(Picha zote na Zainul Mzige). .Ni katika Mpango wa “Mayor’s Ball” “Dawati ni Elimu, Kalisha mmoja, boresha Elimu”. Na Zainul Mzige “Kiongozi hapaswi kutegemea nguvu za Serikali...