Help Children
Love them
Saidia Watoto

Thursday, November 28, 2013

Nkenge Foundation kusaidia upatikanaji wa madawati

Waandishi wakifuatilia mkutano huo Mbunge wa Nkenge Assumpter Mshama akiwa na msaidizi wake marabaada ya kuzungumza na waandishi wa habari jana Mkuu wa Idara ya Habari Maelezo Asa Mwambene akiangalia harakati za Nkenge Foundation. Habari Kamili Mbunge wa jimbo la Nkenge mkoani Kagera, Assumpter Mshama kupitia Taasisi yake ya Nkenge,  leo anaendesha hafla ya chakula cha usiku kuchangia upatikanaji wa madawati ya wanafunzi wa...

Thursday, November 21, 2013

Kifaa cha kuzima moto bora zaidi mashuleni

KAMPUNI ya Simba Logistic Equipment Supply jana ilizindua kifaa cha kuzimia moto kwa kurusha kiitwacho Bonex ambacho vinatumia kuzimia moto katika majumba, magari na sehemu nyinginezo. Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa hafla ya uzinduzi wa vifaa hivyo Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Simba Logistic Equipment Supply Co Limited, Fareed Nahdi alisema kuwa vifaa hivyo ni rahisi kutumika katika matukio mbalimbai ya...

Monday, November 18, 2013

Jery Silaa achangisha milioni 16 za madawati

Habari Kamili The First of its kind mayoral ball aims to raise TZS 4.98 Billion towards providing desk to 30,487 primary and secondary schools in Ilala Municipality by end of financial year 2013/14. 100% of all funds shall proceeds towards realization of this project. To assist towards the Fund raising for the Desks, The Hyatt Regency Kilimanjaro Hotel has led the path by Hosting A charity art Auction Brunch,...

Sunday, November 17, 2013

Wanafunzi wa udaktari wasaidia upimaji wa kisukari Ilala

Mwanafunzi wa Udaktari katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Afya, Muhimbili Elizabeth Mkashabani akimpima urefu mkazi wa Dar es salaam aliejitokeza kupima afya yake Mwanafunzi wa Chuo Cha IMTU, Yasir Kazi Umati wa watu ukijiandaa kuingia kupima afya zao Madaktari wakiwa kazin...

Mama Asha Bilal achangisha fedha za kununulia Madawati Ilala

Akiwa na Meya wa Ilala wakiangalia picha ambazo ziliuzwa na fedha kutumika kuchangia upatikanaji wa madawati Wakitafakari jambo Mzungu huyu kainunua picha Hawa wadau wa elimu nao walinunua picha Ujunbe ulikuwa Dawati ni elimu Minzi alionesha picha yake aliyomchora Bi Kidude Basi baada ya kazi ya kuuza picha Mama Bilal akaondoka.   ...

Friday, November 15, 2013

Meya Jerry Slaa atembelea kambi ya wachoraji wa picha kuchangia elimu

Local Tanzanian artists painting to Support Dawati Ni Elimu  The First of its kind mayoral ball aims to raise TZS 4.98 Billion towards providing desk to 30,487 primary and secondary schools in Ilala Municipality by end of financial year 2013/14. 100% of all funds shall proceeds towards realization of this project. To assist towards the Fund raising for the Desks, The Hyatt Regency Kilimanjaro Hotel has led the path by...

Sunday, November 10, 2013

Mwalimu Mkuu matatani kwa ubadhilifu

Mwalimu Mkuu Shule ya Mirerani alalamikiwa kwa ubadhirifu  MWALIMU Mkuu wa Shule ya Msingi Mirerani, Wilaya ya Simanjiro mkoaniManyara,  Magreth Galibona analalamikiwa kufuja fedha na kudaiwa kuendesha shule hiyo namna anavyotaka.Anadaiwa kuchangisha wanafunzi wa darasa la saba fedha kwa ajili ya picha kwa miaka miwili mfululizo pasipo halali.Hata hivyo mwalimu huyo, amejibu shutuma hizo akisema wazazi walikubali kupitia kikao halali...

Tuesday, November 5, 2013

Form form four kazi kwenu

Na Mdau wa Elimu  MTIHANI wa kidato cha nne ulianza juzi nchini na takribani majuma mawili wanafunzi watakuwa kwenye pilika za hapa na pale za kufanya mtihani huo na kuhakikisha wanafaulu vema huku Serikali kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ikiwa imetangaza viwango vipya vya ufaulu kuanzia mwaka huu.  Ingawa marekebisho hayo ya viwango vya ufaulu yamefanyika, lakini bado kilio cha muda mrefu cha wadau wa elimu nchini ni cha...