Waandishi wakifuatilia mkutano huo
Mbunge wa Nkenge Assumpter Mshama akiwa na msaidizi wake marabaada ya kuzungumza na waandishi wa habari jana
Mkuu wa Idara ya Habari Maelezo Asa Mwambene akiangalia harakati za Nkenge Foundation.
Habari Kamili
Mbunge wa jimbo la Nkenge mkoani Kagera, Assumpter Mshama kupitia Taasisi yake ya Nkenge, leo anaendesha hafla ya chakula cha usiku kuchangia upatikanaji wa madawati ya wanafunzi wa...