Help Children
Love them
Saidia Watoto

Wednesday, November 21, 2018

Diamond akabidhi rasmi kadi za bima ya Resolution kwa wakazi wa Tandale

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Resolution Insurance, Maryann Mugo akikabidhi kadi za bima ya afya kwa wakazi wa Tandale kwa dada wa msanii Diamond Platinum, Diamond aliahidi kuwapatia wakazi 1000 huduma hiyo ya bima (Na Mpigapicha Wetu)  Na Mwandishi Wetu Msanii wa muziki wa kizazi kipya Nasib Abdul, Diamond Platinum ameshakamilisha ahadi yake ya kuwapatia kadi ya huduma ya bima ya afya wananchi wa Tandale. Diamond aliwahi kutoa...

Friday, August 3, 2018

Empowering girls narrows sciences gender gap

Girls in the science laboratories  They can make different one supported  By Evance Ng’ingo                     THOUGH a considerable number of women are defying the odds by invading the once male dominated sectors such as engineering, medicine, mechanics and so on, the gender gap in science related works in Tanzania remains worrying. With...

Monday, July 31, 2017

PiMAK yafungua duka Dar

Mmiliki wa kampuni hiyo, Riza Ergun akiwa na wadau kadhaa waliojitokeza kwenye uzinduzi huo Wafanyakazi na wageni waliojitokeza siku hiyo ya uzinduzi wa duka Riza Erguna akikata utepe kuashiria uzinduzi wa duka lake hilo hapa nchini Na Mwandishi WetuKAMPUNI ya kimataifa inayojihusisha na utengenezaji na uuzaji wa vifaa vya mbalimbali vya mapishi kwenye hoteli , PiMAK  imefungua duka hapa nchini lililopo Mnazi Mmoja, Dar es...

Wednesday, May 24, 2017

MKUU WA WILAYA YA UBUNGO AAGIZA KUANZA UJENZI WA MADARASA MANNE NA VYOO VYA SHULE YA SEKONDARI MBURAHATI

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori akizungumza wakati wa ziara yake ya kikazi katika shule ya Sekondari Mburahati iliyopo Katika Mtaa wa Barafu, Kata ya Mburahati Jijini Dar es salaam.Leo Jumatano, Mei 24, 2017 Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori akisikiliza maelezo kuhusu shule ya Sekondari Mburahati mara baada ya kuzuru shuleni hapo.Leo Jumatano, Mei 24, 2017 Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Mburahati Ndg Bagaya Kashato...

Monday, May 22, 2017

Rambirambi za waliopoteza maisha St Vicent zazidi kutolewa

 Wa kwanza kulia ni mwakilishi wa chama cha wamiliki wauza mafuta rejareja  Kanda ya kaskazini  Deipyen Bameda  (TASDOA ) katikati ni Katibu mkuu  TASDOA Tinno Mmasi akiwa anafafanua jambo mara baada ya kumkabidhi mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo Rambirambi zao za vifo vya wanafunzi 32 wa Lucky Vicent  Dare salaam Independent School (DIS) Anna Msangi akiwa anakabidhi kiasi cha shilingi milioni tatu kwa mkuu...

Sunday, May 21, 2017

Camara Education Tanzania yaendelea kuwanoa wanafunzi

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...

Monday, December 12, 2016

Wanawake wajasiriamali 29 nchini wapewa mafunzo na Taasis ya Graca Machel

Mmiliki wa shule ya chekechea na msingi ya Barney, Marina Juma akifurahi baada ya kupewa cheti cha kuhitimu mafunzo ya miezi 10 ya kuwajengea uwezo wa wanawake wa kujiendeleza kiuchumi yaliyoratibiwa na Mfuko wa Graca Machel, kulia ni Meneja mradi wa mfuko huo  Korkor Cudjoe na katikati ni Mwenyekiti wa Wafanyabiashara wanawake nchini, Jacqueline Maleko (Picha na Mpigapicha Wetu) Normal 0 false false false EN-US ...