Help Children
Love them
Saidia Watoto

Saturday, August 22, 2015

Nini mtazamo wako katika usafirishwaji wa wanafunzi hawa?

Wanafunzi wa shule ya msingi Uhuru Mchanganyiko wakiwa wamerundikwa kwenye kiti kimoja cha nyuma ya dereva katika basi litokalo Kariakoo kuelekea Yombo Vitu...

Friday, August 21, 2015

Marufuku kuwafukuza wanafunzi kwa kushindwa kufauku-- Wizara

Na Mwandishi WetuWIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imesema ni marufuku kukaririsha darasa, kuhamisha au kufukuza wanafunzi wa shule za msingi na sekondari kwa kushindwa kufikisha wastani wa alama za ufaulu wa shule. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Wizara hiyo na kusainiwa na Kaimu Katibu Mkuu, Consolata Mgimba, ilisema Kumejitokeza tatizo la baadhi ya Shule za Sekondari zisizo za Serikali kukaririsha, kuwahamisha au kuwafukuza wanafunzi...